Mwili wa Hayati Cleopa David Msuya ulivyowasili Mwanga


Matukio katika picha wakati wa kuwasili kwa Mwili wa aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya, ukiwasili katika Viwanja vya Cleopa David Msuya, katika Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro leo Mei 12, 2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news