Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akitambulishwa Bungeni wakati wa kusoma Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2025/26.
Wakili Mkuu wa Serilkali, Dkt. Ally Possi (katikati) akifuatilia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria iliyosomwa Bungeni na Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Dkt.Damas Ndumbaro.