Waziri Dkt.Nchemba leo kupiga kura kumchagua Rais mpya wa AfDB

ABIDJA-Waziri wa Fedha, Mhe.Dkt.Mwigulu Nchemba (Mb) ambaye pia ni Gavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) leo Mei 29,2025 atapiga kura kumchagua Rais mpya wa Benki hiyo katika Hoteli ya Softel jijini Abidjan nchini Côte d'Ivoire, baada ya Rais wake wa sasa, Dkt. Akinumwi Adesina, kumaliza kuhula wake wa pili baada ya kuitumikia Benki hiyo kwa miaka 10 mfululizo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news