Balozi CP Hamad ateta na Balozi wa Algeria jijini Maputo

MAPUTO-Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji ambaye pia anawakilisha Madagascar na Ufalme wa Eswatini, Mheshimiwa CP. Hamad Khamis Hamad amekutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Malek Djaoud, Balozi wa Jamhuri ya Algeria nchini Msumbiji kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania zilizopo jijini Maputo.
Katika mazungumzo yao, pamoja na masuala mengine, Mabalozi hao waligusia umuhimu wa kuendeleza mahusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na Msumbiji.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news