Kihongosi avaa viatu vya Makonda

DAR- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa  Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuhamisha Kenan Laban Kihongosi kutoka kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha akichukua nafasi ya Paul Christian Makonda.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Taarifa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais (Ikulu) Juni 23,2025 haikutoa taarifa zaidi kuhusu Paul Makonda.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news