Kitabu cha Samia na Falsafa ya Samialojia sasa kipo ulipo,tazama hapa

Mwandishi wa Kitabu cha Samia na Falsafa ya Samialojia,ndugu Derek Murusuri anasema kuwa,kitabu hiki ni zawadi kutoka kwa wananchi wa kawaida walioona,kuguswa na utendaji kazi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuliongoza Taifa na kuwathamini watu.

“Si kumpa moyo Rais Dkt.Samia kwa kazi nzuri tu,bali pia kwa kuhifadhi historia ya mambo mazuri yasije yakachukuliwa na upepo."

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news