Rais Dkt.Samia mgeni rasmi hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma

DAR-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya kupokea Gawio na michango kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma (Gawio Day 2025).Hafla hiyo inatarajiwa kufanyika Juni 10,2025 saa 5 asubuhi Ikulu jijini Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news