Magazeti leo Juni 25,2025

BAADA ya ukuaji wa teknolojia, bidhaa nyingi na huduma zimekuwa zikitolewa kwa njia ya mtandao, hata hivyo suala hilo limekuwa likiingiliwa na watu wachache ambao sio waaminifu ambao wamekuwa wakitapeli watu fedha zao.

Jambo hilo liliwahi kunitokea kama mwaka mmoja uliopita ambapo nilinunua gari katika mtando mmoja na makubaliano yalikuwa nilipe fedha nusu na nyingine nilipe baada ya kukabidhiwa gari langu.
Basi nililipa fedha zile kupitia akauti ya benki niliyoelekezwa, makubaliano yalikuwa baada ya wiki tatu niletewe gari langu hadi nyumbani lakini haikuwa hivyo.

Kila mara ningewapigia simu na kuwauliza kuhusu hilo na majibu yao yalikuwa kuwa wapo katika mchakato wa kulisafirisha hivyo nisiwe na wasi wasi wowote ule.

Siku zilizidi kusonga bila ya mimi kupatiwa gari langu, kila nikipiga ile namba haikupokelewa na mwisho wa siku ikawa haipatikani tena na ule mtandao nikawa...SOMA ZAIDI HAPA

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news