Mtanzania mwanamuziki Makunja kutunukiwa Tuzo ya Balozi wa Utamaduni Afrika

BERLIN-Mwanamuziki Ebrahim Makunja anatarajia kutunukiwa tuzo ya Balozi wa Utamaduni Afrika (Ambassador of African Culture).
Tuzo hiyo inayotolewa na Africa We Want Organisation ya Ujerumani inatokana na kutambua mchango wa mwanamuziki huyo mtanzania kiongozi na mwanzilishi wa bendi maarufu ya The Ngoma Africa Band.
Bendi hiyo ina majina mengi yaliobatizwa na washabiki wake kama Viumbe imara wa ajabu "Anunnaki Alien's " kutoka special planet Bongoland, FFU Ughaibuni wakifananishwa na kikosi maalumu.
Kikosi kazi hicho The Ngoma Africa Band chenye masikani kule Ujerumani ambayo kimeutangaza vema muziki wa kiafrika katika kila kona za kimataifa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news