Mwanasheria Mkuu wa Serikali awasilisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa Mwaka 2025

DODOMA-Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari leo Juni 5,2025 bungeni jijini Dodoma amewasilisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa Mwaka 2025 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Bill, 2025).
Mwanasheria Mkuu wa Serikali amewasilisha Muswada huo katika Mkutano wa Kumi na Tisa,Kikao cha Arobaini cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloendelea bungeni jijini Dodoma.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news