Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali yashiriki ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma

DODOMA-Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ni miongoni mwa taasisi za umma ambazo zimeshiriki katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma Juni 17,2025 ambayo yanaendelea katika viwanja vya Chinangali kuanzia Juni 16 hadi 23,2025.
Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakiwa na Bango la kauli mbiu kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma tayari kwa kushiriki ufunguzi wa Maadhimisho hayo yanayoendelea jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akifungua Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa umma wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho hayo uliofanyika jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akifungua Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa umma wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho hayo uliofanyika jijini Dodoma.
Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (hayuko pichani) wakati akifungua Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa umma yanayoendelea jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Juma Mkomi akitoa salamu za Ofisi hiyo wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho hayo uliofanyika jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Juma Mkomi akitoa salamu za Ofisi hiyo wakati wa Ufunguzi wa Maadhimisho hayo uliofanyika jijini Dodoma.
Watumishi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea jijini Dodoma.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news