Rais wa TFF akagua ujenzi wa Arusha Stadium

ARUSHA-Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia ametembelea na kukagua maendeleo ya miradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu unaojengwa katika kata ya Olmoti jijini Arusha utakaotumika katika mashindano ya AFCON 2027.
Karia ametembelea uwanja huo akiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Ndugu Methusela Ntonda na viongozi wengine wa Wizara hiyo Mei 30, 2025 na kuweza kuona maendeleo ya ujenzi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news