Treni ya mizigo kupitia SGR yawasili Dodoma

DODOMA-Treni ya kwanza ya mizigo ya reli ya kiwango cha kimataifa ( SGR) ikiwasili Ihumwa, Dodoma majira ya mchana, ikitokea stesheni ya Pugu, Dar es Salaam.
Treni hiyo yenye mabehewa 10 iliyobeba tani takribani 700 za mizigo mbalimbali imetimiza ahadi ya kuanza huduma ya usafiri wa treni za mizigo katika reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) na Tanzania kuweka historia kwenye ukanda wa Afrika Mashariki kuwa na treni ya mizigo ya SGR .

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news