Magazeti leo Julai 25,2025

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kutoa zawadi ya sh bilioni moja kwa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars, iwapo itatwaa ubingwa wa michuano ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024 inayopangwa kuanza Agosti 2 hadi 30 ikiandaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya na Uganda.







Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam Julai 24, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi, amesema donge hilo ni motisha na kwamba ana imani Taifa Stars italipambania Taifa kwa jasho na damu na kupeperusha vyema bendera ya nchi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news