Magazeti leo Julai 4,2025

KAMISHNA Mkazi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Zanzibar, Khatib Mwinyichande, amesema Tume hiyo ina nafasi ya kipekee na ya kikatiba katika kuhakikisha uchaguzi mkuu nchini unakuwa huru, haki na unaozingatia misingi ya utawala bora.
Akizungumza na waandishi wa habari katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), kwenye banda la Tume hiyo, Mwinyichande alibainisha kuwa jukumu kubwa la Tume ni kulinda na kuhifadhi haki za binadamu pamoja na misingi ya utawala bora, jambo linaloifanya kuwa na nafasi ya moja kwa moja katika mchakato wa uchaguzi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news