Magazeti leo Julai 7,2025

Waziri wa Nchi Ofisii ya Waziri Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe.Ridhiwani Kikwete amesema kuwa, Tanzania itakuwa mwenyeji katika mkutano wa Kimataifa wa wadau wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii Afrika (ASSA), unaotarajia kufanyika kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano (AICC) cha jijini Arusha.
Akizungumza wandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mhe. Ridhiwani amesema kuwa, Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano Dkt.Philip Mpango Julai 10 mwaka huu, anatarajia kufungua Mkutano huo ambapo Mifuko hiyo ya jamii itakayoshiri kutoa Tanzania Bara na Zanzibar ni pamoja na NSSF, PSSF, NHIF,WCF, ZSSF na ZHHF.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news