Magazeti leo Julai 9,2025

Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus, Dkt. Kombos anafanya ziara kwa niaba ya Mwakilishi Mkuu wa Masuala ya Kigeni na Sera ya Usalama wa Umoja wa Ulaya na Makamu wa Rais wa Tume ya Ulaya, Kaja Kallas.
Lengo kuu la ziara hiyo ni kuimarisha mahusiano ya pande mbili, maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, na ushirikiano wa kiuchumi chini ya mkakati wa Umoja wa Ulaya wa Global Gateway.
Balozi wa Umoja wa Ulaya kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Christine Grau, alipokuwa akizungumzia ziara hiyo, alieleza kuwa “Tanzania ni mshirika wa kuaminika na mwenye utulivu katika eneo lenye umuhimu wa kimkakati.”





Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news