Rais Dkt.Mwinyi ashiriki Siku ya Kumbukizi ya Mashujaa jijini Dodoma

DODOMA-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika Uwanja wa Mnara wa Mashujaa, uliopo Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma leo Julai 25,2025.
Maadhimisho hayo yameongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Viongozi mbalimbali wameshiriki katika maadhimisho hayo wakiwemo viongozi wa Serikali, Vyombo vya Ulinzi na Usalama, pamoja na Viongozi wa Dini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news