Rais Dkt.Mwinyi awasili jijini Dodoma

DODOMA-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar na Kuwasili jijini Dodoma kushiriki uzinduzi wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 ambayo itazinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete leo tarehe 17 Julai 2025.
Katika uwanja wa ndege wa Dodoma, Rais Dk.Mwinyi amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Vyombo vya Ulinzi na Usalama wa Mkoa huo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news