Rais wa Congo-Brazzaville atuma Ujumbe Maalum kwa Rais Dkt.Samia

DAR-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Julai 8,2025 Ikulu jijini Dar Es Salaam amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo- Brazzaville,Mhe. Denis Sassou Nguesso uliowasilishwa kwake na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo,Mhe. Jean-Claude Gakosso.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Congo-Brazzaville, Mhe. Jean-Claude Gakosso, Ikulu jijini Dar es Salaam leo Julai 8,2025 baada ya kiupokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo- Brazzaville,Mhe. Denis Sassou Nguesso uliowasilishwa kwake na waziri huyo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news