Magazeti leo Agosti 13,2025

MGOMBEA wa Kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu amesema yeye na Mgombea Mwenza wa nafasi ya Makamu wa Rais, Devotha Minja wanaingia kwenye kinyang’anyiro cha urais wakiwa wasafi na hawana deni na mtu yeyote.
Mwalimu ameeleza hayo Agosti 12, 2025 baada ya kukabidhiwa Fomu ya uteuzi wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Jacobs Mwambegele kwenye Ofisi za Makao Makuu ya tume hiyo zilizopo Njedengwa mkoani Dodoma.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news