Magazeti leo Agosti 14,2025

MGOMBEA urais wa Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara ameahidi kuwa endapo chama hicho kitapewa ridhaa ya kuongoza nchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, 2025 kitahakikisha kinapunguza gharama za umeme ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa maisha.
Kyara akiwa amongozana na Mgombea Mwenza wa nafasi ya Makamu wa Rais, Satia Bebwa ametoa kauli hiyo Agosti 13, 2025 mjini Dodoma baada ya kukabidhiwa Fomu za Uteuzi wa nafasi ya Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Jacobs Mwambegele katika Ofisi za Makao Makuu ya tume hiyo zilizopo Njedengwa jijini humo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news