Magazeti leo Agosti 18,2025

SERIKALI za Afrika ya Mashariki,l zimeombwa kuondoa vikwazo ambavyo vinaathiri biashara za mipakani za mazao ya Kilimo Ikololojia, hasa kwa wajasiriamali wadogo ili kuwezesha kukuza biashara hiyo.
Utafiti uliofanywa kuhusiana na biashara za kilimo ikolojia (Kilimo Hai) mipakani zimebaini, kuna changamoto kadhaa ikiwemo viwango vya ubora wa bidhaa,mifumo ya ulipaji kodi,vikwazo vya barabarani,udhibiti wa bidhaa zisizo na ubora na uelewa mdogo wa wajasiriamali katika masuala ya biashara ya mipakani.

Akisoma mapendekezo ya kisera kutokana na warsha ya wadau kuhusu biashara ya mipakani kwa mazao ya bidhaa za kilimo kkolojia, Afisa wa Utetezi na Ushawishi wa Shirikisho la Wakulima Tanzania (SHIWAKUTA), Thomas Laizer amesema, wamekubaliana ni muhimu, kuchukuliwa kwa hatua madhubuti kuondoa au kupunguza vikwazo visivyo vya kikodi (NTBs) ikiwemo mazuio yasiyo rasmi ya barabarani ambayo kwa kiasi kikubwa yanaathiri biashara za mipakani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news