Magazeti leo Agosti 21,2025

Klabu ya Yanga imetangaza kuwa sherehe za kilele cha WIKI YA MWANANCHI itafanyika ljumaa ya Septemba 12, 2025 katika dimba la Benjamin Mkapa ikiwa ni siku mbili baada ya tarehe ya SIMBA DAY 2025 iliyopangwa kufanyika Septemba 10, 2025.

Aidha, baada ya mitanange hiyo, watani hao wa jadi kwa mujibu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) watakutana Septemba 16,2025 katika mchezo wa Ngao ya Jamii.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news