Magazeti leo Agosti 24,2025

Mifugo 148,172 katika Halmashauri ya Mji Handeni, mkoani Tanga, inatarajiwa kuchanjwa dhidi ya magonjwa ya kideri, sotoka na mapafu, kupitia kampeni ya kitaifa ya chanjo ya mifugo.‎
‎Akizindua kampeni hiyo Agosti 22, 2025 katika Kata ya Malezi, Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amewahimiza wafugaji wote wa Halmashauri hiyo wajitokeze kishiriki zoezi hilo la kitaifa ili kukabiliana na magonjwa ya mifugo.






‎Kwa upande wake, Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri hiyo, Aldegunda Matunda, amesema kati ya idadi hiyo ya mifugo; ng’ombe ni 38,006, mbuzi 25,356, kondoo 9,567 na kuku 75,243.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news