Magazeti leo Agosti 25,2025

WAZAZI wamehimizwa kuwatibu watoto wanaopata ugonjwa wa mafindofindo (tonsillitis) kuwaepusha na hatari ya kupata magonjwa ya valvu za moyo.
Hayo yamesemwa na Daktari bingwa wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Salehe Mwinchete wakati wa kambi maalumu ya siku nne ya upasuaji wa moyo iliyokuwa ikifanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao kutoka Shirika la Madaktari Africa la nchini Marekani.

Dkt. Salehe alisema, tatizo la valvu za moyo kuziba uanza na maambukizi ya kooni yajulikanayo kama mafindofindo (tonslight), na homa za utotoni za mara kwa mara ambazo huleta maambukizi yanayoathiri koo na wadudu wake kwenda kuharibu milango ya moyo (Valvu za moyo).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news