Magazeti leo Agosti 5,2025

TANGU ameingia madarakani,Kapteni Ibrahim Traoré mnamo mwaka 2022, Burkina Faso imeongeza faida yake ya kuchimba dhahabu kutoka dola bilioni 1 hadi dola bilioni 18 kufuatia kupiga marufuku kampuni za Magharibi kuchukua udhibiti wa rasilimali zake.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo,chini ya uongozi wake, nchi ilitaifisha migodi muhimu, na ikarudisha faida kwa nchi.

Pesa hiyo sasa inatumika kuwekeza katika miundombinu ya umma, shule, huduma za afya, na utetezi katika kuhakikisha utajiri wa Burkina Faso unanufaisha watu wake.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news