Mama Mariam Mwinyi awasili Pemba kufunga kambi ya tano ya Afya Bora

ZANZIBAR-Mke wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation(ZMBF), Mhe. Mama Mariam Mwinyi amewasili Pemba kwa ajili ya kufunga Kambi ya tano ya Afya Bora, Maisha Bora inayofanyika katika viwanja vya Hospitali ya Wilaya ya Vitongoji, Mkoa wa Kusini Pemba.
Katika uwanja wa ndege wa Pemba amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mhe.Rashid Hadid Rashid na viongozi mbalimbali wa Serikali, Chama Cha Mapinduzi na vyombo vya ulinzi na usalama.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news