Na hii ndiyo siri ya uongozi unaoacha alama Zanzibar chini ya Rais Dkt.Mwinyi


Turejee katika Maktaba: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati alipokuwa akizungumza na wajasiriamali wadogo wadogo katika Soko la Kijangwani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 18 Novemba,2020 alipofanya ziara ya kujua changamoto mbalimbali zinazowakabili wafanyabiashara hao.

Mheshimiwa Rais Dkt.Mwinyi tangu aingie madarakani mwaka 2020 amekuwa na utaratibu wa kuyafikia makundi mbalimbali ya wananchi kote Unguja na Pemba, kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi na kuyafikia maendeleo yaliyotarajiwa kote Zanzibar. Na hii ndiyo siri ya uongozi unaoacha alama Zanzibar, Zanzibar ya sasa imepiga hatua kubwa katika sekta mbalimbali,neema zaidi zinakuja,tuendelee kumuunga mkono.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news