VIDEO:Utafiti wa TAKUKURU wabainisha mianya ya rushwa mipakani

Utafiti wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) umebainisha uwepo wa mianya ya rushwa mipakani.

"Hela zimeisha, yaani shida hela zimeisha, umeelewa mzee? Mtu unakaa siku saba hapa, hela zimeisha,"anaeleza mmoja wa madereva ambao wanakumbana na adha ya foleni ya malori yanayosafirisha mizigo kuelekea mataifa mbalimbali eneo la Tunduma, ni foleni ambayo huwa inachukua siku tano hadi saba, na wakati mwingine zaidi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news