Wajumbe Bukombe wampa Dkt.Biteko asilimia 99.8 kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

GEITA-Mbunge aliyemaliza muda wake katika Jimbo la Bukombe mkoani Geita, Mheshimiwa Dkt.Doto Mashaka Biteko ameaminiwa tena na na Chama Cha Mapinduzi (CCM), hivyo kumpa ridhaa ya kwenda kukiwakilisha chama katika Uchaguzi Mkuu ujao Oktoba 29,2025. Imani hii imekuja baada ya wajumbe kumpa ushindi wa kishindo leo Agosti 4,2025.
IDADI YA WAPIGA KURA JIMBO LA BUKOMBE - GEITA NI 7,845

Wajumbe waliohudhuria 7456

Wajumbe wasiohudhuria 389

Idadi ya kura zilizopigwa 7456

Idadi ya kura zilizoharibika 15

Idadi ya kura halali 7441


✅ KURA ZA NDIO 7441

✅ KURA ZA HAPANA 00


WASTANI WA WAPIGA KURA WALIOJITOKEZA NI 95.04%

WASTANI WA USHINDI NI 99.8%

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news