DIB yaendelea kutoa elimu katika maonesho ya madini Geita

GEITA-Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu jinsi inavyokinga amana za wateja wa benki na taasisi za fedha katika Maonesho ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan mjini Geita.
Pichani, wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Bugando wakipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Umma na Mawasiliano wa Bodi hiyo, Bw. Lwaga Mwambande.
Maonesho ya Teknolojia ya Madini yalianza tarehe 18 Septemba na yanatarajiwa kufungwa tarehe 28 Septemba,2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here