Dkt.Samia ni kinara wa mabadiliko Sekta ya Madini nchini

Na Derek K. Murusuri
Dar es Salaam
Septemba 29,2025 

MWELEKEO wa Sekta ya Madini nchini Tanzania tangu mwaka 2021 ni kielelezo cha mafanikio makubwa ya Falsafaya 4R katika kuunda uchumi imara unaotabirika, ulio wazi na wenye tija. 

Kabla ya kipindi hiki, sekta hii ilikumbwa na mazingira ya magumu na migogoro ya kodi isiyoisha.

Uhasama wa kisiasa ulikwamisha mitaji ya ndani na nje. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani, alifanya mageuzi makubwa kwa kutumia nguzo za Maridhiano na Mageuzi ili kuboresha mazingira ya kufanya biashara nchini. Utulivu mkubwa ukatamalaki na mafanikio katika sekta ya madini yakaleta neema nchini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news