Magazeti leo Septemba 13,2025

Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2025 zimeendelea wilayani Karagwe ambapo Mwenge huo umefanya uzinduzi, uwekaji wa jiwe la msingi na ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya Shilingi Bilioni 3.58 tarehe 12 Septemba 2025.
Miradi iliyozinduliwa na kutembelewa ni pamoja na Kituo cha Afya Nyabiyonza, ujenzi wa barabara ya lami yenye urefu wa kilomita tatu, vyumba 24 vya biashara katika stendi ndogo ya magari Bohari, mradi wa maji Rwamugurusi, mradi wa vijana wa kuchakata taka ngumu (KIUMA), nyumba ya Watumishi Shule ya Sekondari Omurushaka, pamoja na mradi wa uhifadhi wa mazingira na matumizi ya nishati safi na salama.













Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news