Magazeti leo Septemba 20,2025

Bodi ya Maziwa Tanzania (TDB) inatarajia kuadhimisha Siku ya unywaji maziwa shuleni mkoani Geita Septemba 24, 2025 katika Viwanja vya Dk. Samia Suluhu Hassan vilivyopo Manispaa ya Geita.
Msajili wa Bodi hiyo, Profesa George Musalya amesema lengo la kupeleka maadhimisho hayo mkoani Geita ni kuhamasisha unywaji maziwa hasa kwa wanafunzi mashuleni ili kuimarisha afya zao.

Aidha,amesisitiza umuhimu wa wazazi kuwahimiza watoto wao kunywa maziwa kwani watakuwa na uwezi wa kufanya vizuri kwenye masomo yao kutokana na virutubishi vilivyopo kwenye maziwa ambavyo vinapatikana kwenye makundi yote ya vyakula.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news