Magazeti leo Septemba 2,2025

Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Chuo Cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC), Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri wa chuo hicho, Profesa Ahmed Ame, amesema kuna umuhimu mkubwa wa kutumia takwimu katika kutengeneza sera za maendeleo ya taifa.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Septemba 1, 2025, wakati wa ufunguzi wa semina kwa waandishi wa habari, Prof. Ame amesema Serikali imepanua wigo wa matumizi ya takwimu katika upangaji wa maendeleo na kusisitiza kuwa takwimu sahihi ndizo msingi wa maamuzi bora.

“Takwimu ni namba ambazo haziongopi. Zinawawezesha wananchi kuelewa kwa usahihi kile kinachofanyika,” amesema Prof. Ame.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news