Magazeti leo Septemba 9,2025

Waandishi wa habari nchini wametakiwa kuwa waangalifu katika kuandika habari za uchaguzi ili kuepusha uchochezi na uvunjifu wa amani katika kipindi chote cha Uchaguzi Mkuu unayotarajiwa kufanyika Oktoba,2025.
Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jaji George Joseph Kazi katika Ukumbi wa Tume hiyo Maisara katika Mafunzo ya wadau wa habari wa Uchaguzi Mkuu.

Amesema kuwa, lugha ya mwandishi inaweza kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani au ni yenye kudumisha Amani hivyo ni vyema kuzingatia maadili, haki na wajibu katika kazi zao.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news