Mheshimiwa Chumi ateta na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika


Kando ya Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika kuhusu Tabianchi jijini Addis Ababa nchini Ethiopia, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Mhe. Mahmoud Ali Youssouf pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Angola, Mhe. Tete Antonio.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news