Rais Dkt.Mwinyi kufungua michezo ya majeshi leo

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo 6 Septemba 2025 akiwasili katika Uwanja wa Mao Tse Tung kufungua Michezo ya Majeshi ya Tanzania.
Alipokelewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, CDF Jenerali John Jacob Mkunda pamoja na Viongozi wa Serikali na vyombo vya ulinzi na usalama.Michezo hiyo imeandaliwa na Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news