Zanzibar mpya inayojengwa kwa kasi,twende na Dkt.Mwinyi tena


Zanzibar inahitaji uongozi thabiti, wenye dira na unaoendelea kuacha alama za maendeleo. Kwa miaka mitano iliyopita, tumeshuhudia kasi ya mabadiliko chanya katika nyanja za kijamii na kiuchumi chini ya kiongozi mahiri, Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi.

Mwaka 2025 tunasimama pamoja kuendeleza safari hii:

✅Chagua CCM

✅Chagua Dkt.Hussein Ali Mwinyi

#Uongozi Unaoacha Alama
#HAM2025 
#UongoziUnaoachaAlama 
#ChaguaCCM

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news