BoT yauza Dola milioni 20 kuimarisha ukwasi wa Soko la Fedha za Kigeni

NA DIRAMAKINI

Katika utekelezaji wa sera hiyo, BoT imeuza jumla ya Dola za Marekani milioni 20 kupitia mnada wa ushindani, kwa kiwango cha wastani cha Shilingi 2,465.13 kwa Dola moja ya Marekani.

Ushiriki huu unalenga kuimarisha na kuongeza ukwasi katika soko la fedha za kigeni, sambamba na kuhakikisha uthabiti wa thamani ya Shilingi ya Tanzania na uendelevu wa miamala ya biashara ya kimataifa.

Aidha,hatua hii ni sehemu ya juhudi endelevu za Benki Kuu kudhibiti mienendo ya soko la fedha za kigeni na kuweka mazingira bora ya kifedha yanayochochea ukuaji wa uchumi wa nchi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news