Magazeti leo Oktoba 16,2025

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema hali ya usalama katika jiji hilo inaendelea kuwa shwari, huku shughuli za kiuchumi, kijamii na kisiasa zikiendelea kwa utulivu.Pia,jeshi hilo linawashikilia watu wanne kwa kosa la kuendesha televisheni mtandao bila kufuata sheria.
Akizungumza na waandishi wa habari Oktoba 15,2025 kamanda wa polisi kandaa maalim Jumanne Murilo amesema wananchi wanaendelea kushiriki katika mikutano ya vyama vya siasa, na wagombea wote wapo salama, jambo linaloonyesha hali nzuri ya amani na usalama katika kipindi hiki cha kampeni.











Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news