Magazeti leo Oktoba 23,2025

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu ambaye pia ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM), Profesa Mussa Juma Assad, amesema hali ya uchumi wa Tanzania imeimarika katika kipindi cha miaka minne iliyopita.
Profesa Assad ameyasema hayo mjini Morogoro katika Kongamano la Kitaaluma la kujadili Utekelezaji wa Uchumi Jumuishi kufikia Dira 2050, lililoandaliwa na Chuo kikuu MUM kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC).

Amesema kwa vigezo vya kiuchumi, Tanzania inaendelea kufanya vizuri ukilinganisha na baadhi ya nchi jirani kama Kenya na Rwanda, ambapo ukuaji wa pato la taifa (GDP) umeendelea kuwa thabiti.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news