Magazeti leo Novemba 11,2025

JESHI la Polisi mkoani Geita limesema limejidhatiti kuhakikisha linakomesha vitendo vya utapeli, ukatili wa kijinsia na ramli chonganishi vinavyofanywa na watu mbalimbali kwa kivuli cha tiba za asili.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Safia Jongo ametoa kauli hiyo katika mkutano mkuu wa waganga wa tiba za asili mkoani Geita uliofanyika mjini Geita.


Amesema hatua hizo zinakuja kutokana na kuendelea kuripotiwa matukio ya vitendo visivyo vya kiungwana, vinavyofanywa na baadhi ya waganga wa tiba za asili.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news