Magazeti leo Novemba 16,2025

SHIRIKA la Umeme Zanzibar (ZECO) limetangaza kuwa kutakuwa na maboresho ya miundombinu katika baadhi ya maeneo kesho, Jumapili, tarehe 16, 2025. Kazi hizo zitahusisha uhamishaji wa nguzo za umeme wa msongo wa kilovolti 33 na 11.
Taarifa hiyo imeeleza kuwa, lengo la uamuzi huo ni kuwarahisishia kazi wakandarasi wa ujenzi wa barabara za juu (fly over) unaoendelea katika maeneo ya Amani na Mwanakwerekwe.

Kutokana na maboresho hayo, Shirika la Umeme litalazimika kuzima umeme wa njia za msongo wa kilovolti 33 na 11 ili kupisha utekelezaji wa kazi hiyo.








Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news