Rais Dkt.Mwinyi ajumuika na wananchi katika mazishi ya Bibi Siena Mzee Muhammed

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na viongozi pamoja na wananchi mbalimbali katika Mazishi ya Marehemu Bibi Siena Mzee Muhammed aliyefariki leo tarehe 25 Novemba 2025.
Mapema, Rais Dkt. Mwinyi alijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Jeneza iliyosaliwa Masjid Twayyib uliopo Fuoni.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news