Magazeti leo Desemba 18,2025

Mtaalamu wa magonjwa ya afya ya akili, Dkt. Salum Khalfan Hemed, amesema kuwa mtu anapoanza kuona dalili kama hasira zisizo na sababu, kujitenga na watu, kutopenda kushirikiana na wenzake, pamoja na mabadiliko ya ulaji ikiwemo kula sana au kuto kula kabisa, huenda akawa anakabiliwa na tatizo la afya ya akili.

Dkt. Hemed ameyasema hayo alipokuwa kwenye mahojiano katika kipindi cha Asubuhi Njema cha ZBC Desemba 17, 2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news