Bodi ya Bima ya Amana (DIB) yaendelea kutoa elimu maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa jijini Tanga

TANGA-Bodi ya Bima ya Amana (DIB) inashiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Usagara jijini Tanga yakijumuisha wizara na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa huduma hizo hapa nchini.
Pichani maafisa wa DIB wakitoa elimu kuhusu majukumu ya DIB kwa wanafunzi wa Chuo cha Kange waliotembelea banda la DIB.

Maonesho haya ambayo yalianza tarehe 19 Januari 2026 yanatarajiwa kufunguliwa rasmi tarehe 21 Januari na Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar.

Kauli mbiu ya maadhimisho haya ni: “Elimu ya Fedha, msingi wa Maendeleo ya Kijamii na Kiuchumi.”

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here