Magazeti leo Januari 24,2026

Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa Bima ya Afya kwa wote awamu ya kwanza kwa kundi la wananchi wasio na uwezo (wazee, watoto, wajawazito na walemavu) ambao watagharamiwa na Serikali.

Serikali pia imetangaza kitita cha huduma muhimu kitakachotolewa na skimu za Bima ya Afya kwa gharama ya Shilingi 150,000 kwa Kaya ya watu wasiozidi sita.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here