Taarifa muhimu kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa wadau wote

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Tunapenda kuwashukuru wadau wetu na wananchi kwa ujumla, kwa ushirikiano mkubwa mliotupatia katika kipindi chote cha mwaka 2025.
Ushirikiano wenu na imani yenu kwetu, ndiyo iliyotuwezesha kuendelea kutoa huduma bora za Ushauri wa Kisheria,Upekuzi wa Mikataba na Uandishi wa Sheria.

Tunapouanza mwaka mpya wa 2026, tunawaahidi kuendelea kuwahudumia kwa Weledi wa hali ya juu.

Ahsanteni kwa kuwa sehemu ya safari yetu kwa mwaka 2025. Karibuni tujenge mwaka 2026 uwe wa mafanikio zaidi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here